Belinda Bencic

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bencic kwenye mashindano ya Australian Open 2020
Bencic kwenye mashindano ya Australian Open 2020

Belinda Bencic (alizaliwa Machi 10, 1997)ni mchezaji mtaalamu wa tenisi kutokea Uswisi.

Ana cheo cha ubora wa nambari 4 na Chama cha Tenisi cha Wanawake (WTA) ambacho alifanikisha mnamo Februari 2020. Bencic ameshinda mataji matano ya mtu mmoja mmoja, ikiwa ni pamoja na medali ya dhahabu katika Olimpiki ya Tokyo 2020, na mataji mawili ya mara mbili kwenye Ziara ya WTA.


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Belinda Bencic kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.