Becca (mwimbaji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Becca (Muimbaji wa Ghana))
Rebecca Akosua Acheampomaa

Rebecca Akosua Acheampomaa
Amezaliwa 15 Agosti 1984
Ghana
Kazi yake Mtunzi na Mwimbaji


Rebecca Akosua Acheampomaa Acheampong (maarufu kama Becca; amezaliwa 15 Agosti 1984)[1][2] ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mwigizaji wa Ghana.

Alianza kutambuliwa aliposhiriki msimu wa pili wa mashindano ya uimbaji yanayofanyika kila mwaka uko Ghana "TV3 Ghana".

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Becca Biography". Peacefmonline.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 30 June 2016. Iliwekwa mnamo 17 June 2014.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. "Becca releases "Sugar" album". Daily Guide. 27 August 2007. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 3 December 2013. Iliwekwa mnamo 6 July 2014.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |date=, |archivedate=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Becca (mwimbaji) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.