Basili, Eujeni na wenzao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Basili, Eujeni na wenzao Agatodoro, Elpidi, Eteri, Kapitoni na Efremu (walifariki Kersoneso, leo nchini Ugiriki, mwishoni mwa karne ya 3 - mwanzoni mwa karne ya 4) walikuwa maaskofu wamisionari kutoka Yerusalemu ambao waliuawa kwa sababu ya imani yao, isipokuwa labda Kapitoni[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 7 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.