Bashinuna

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Masalia yake.

Bashinuna (alifariki 19 Mei 1164) alikuwa mmonaki wa Skete, Misri ambaye alifia Ukristo kwa kuchomwa moto katika dhuluma ya Waislamu chini ya khalifa Al-Adid.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.