Bahati Ali Abeid
Mandhari
Bahati Ali Abeid (amezaliwa 22 Mei 1967) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania. Aligombea kiti cha bunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Mahonda. Pia alikuwa sekretari wa Umoja wa Wanawake Tanzania kuanzia 2002-2003.[1]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Chanzo
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti ya Bunge la Tanzania
![]() |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |