BMW X7
Mandhari

BMW X7 ni SUV ya kifahari ya ukubwa kamili inayotengenezwa na BMW. Ni SUV kubwa zaidi na ya pili kwa bei katika mstari wa magari wa BMW[1].
X7 ilitangazwa kwa mara ya kwanza na BMW mnamo Machi 2014. Ilizinduliwa rasmi tarehe 17 Oktoba 2018, na agizo la awali likianza kupokelewa mtandaoni. X7 imekuwa inapatikana kwa wauzaji tangu Machi 2019.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "BMW X7 Prices, Reviews, and Pictures | Edmunds". Edmunds.com. Februari 24, 2020.
| Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |