Nenda kwa yaliyomo

Austen Robin Crapp

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Austen Robin Crapp CBE O.F.M. (5 Machi 1934 – 6 Machi 2024) alikuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki kutoka Australia.

Alizaliwa Sydney, New South Wales, na akapewa daraja ya upadre mwaka 1959. Aliteuliwa kuwa askofu wa Aitape, Papua New Guinea, mwaka 1999 na alihudumu hadi alipostaafu mwaka 2009.[1]

  1. "Bishop Austen Robin Crapp, O.F.M. †". Catholic-Hierarchy.org. Iliwekwa mnamo 3 Juni 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.