Augustino wa Canterbury

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Augustino wa Canterbury katika mavazi ya Askofu mkuu.

Augustino wa Canterbury (kwa Kilatini Augustinus Cantiacorum) alizaliwa Roma, Italia, 13 Novemba 534 akafariki Canterbury, Uingereza, 26 Mei 604) alikuwa mmonaki kutoka Italia aliyetumwa na Papa Gregori I kama askofu mmisionari huko Uingereza mwaka 597 akiwa na wamonaki wenzake wengi.

Baada ya kupokewa vizuri na mfalme Ethelbert wa Kent, aliiga maisha ya Kanisa la mwanzo na kumuongoa mfalme huyo pamoja na wananchi wengi sana, akianzisha kwa ajili yao majimbo mbalimbali[1].

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu "mtume wa Uingereza".

Sikukuu yake ni tarehe 26 Mei au 27 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo vya kale[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Bede; translated by Leo Sherley-Price (1988). A History of the English Church and People. New York: Penguin Classics. ISBN 0-14-044042-9. 
  • Blair, John P. (2005). The Church in Anglo-Saxon Society. Oxford, UK: Oxford University Press. ISBN 0-19-921117-5. 
  • Blair, John (2002). "A Handlist of Anglo-Saxon Saints". In Thacker, Aland and Sharpe, Richard. Local Saints and Local Churches in the Early Medieval West. Oxford, UK: Oxford University Press. pp. 495–565. ISBN 0-19-820394-2
      .
  • Blair, Peter Hunter; Blair, Peter D. (2003). An Introduction to Anglo-Saxon England (Third ed.). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-53777-0. 
  • Brooks, Nicholas (1984). The Early History of the Church of Canterbury: Christ Church from 597 to 1066. London: Leicester University Press. ISBN 0-7185-0041-5. 
  • Colgrave, Bertram (2007). "Introduction". The Earliest Life of Gregory the Great (Paperback reissue of 1968 ed.). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 978-0-521-31384-1
      .
  • Collins, Roger (1999). Early Medieval Europe: 300–1000 (Second ed.). New York: St. Martin's Press. ISBN 0-312-21886-9. 
  • Dales, Douglas (2005). ""Apostles of the English": Anglo-Saxon Perceptions". L'eredità spirituale di Gregorio Magno tra Occidente e Oriente. l Segno Gabrielli Editori. ISBN 8888163549
      .
      .
  • Gameson, Richard and Fiona (2006). "From Augustine to Parker: The Changing Face of the First Archbishop of Canterbury". In Smyth, Alfred P.; Keynes, Simon. Anglo-Saxons: Studies Presented to Cyril Roy Hart. Dublin: Four Courts Press. pp. 13–38. ISBN 1-85182-932-6
      .
  • Hayward, Paul Anthony (2001). "St Justus". In Lapidge, Michael et al.. Blackwell Encyclopaedia of Anglo-Saxon England. Malden, MA: Blackwell Publishing. pp. 267–268. ISBN 978-0-631-22492-1
      .
      .
  • Lapidge, Michael (2001). "Mellitus". In Lapidge, Michael; Blair, John; Keynes, Simon; Scragg, Donald. Blackwell Encyclopaedia of Anglo-Saxon England. Malden, MA: Blackwell Publishing. pp. 305–306. ISBN 978-0-631-22492-1
      .
     . http://www.oxforddnb.com/view/article/899. Retrieved 30 Machi 2008.
     . http://www.oxforddnb.com/view/article/2269. Retrieved 30 Machi 2008.
  • Nilson, Ben (1998). Cathedral Shrines of Medieval England. Woodbridge, UK: Boydell Press. ISBN 0-85115-540-5. 
  • Schapiro, Meyer (1980). "The Decoration of the Leningrad Manuscript of Bede". Selected Papers: Volume 3: Late Antique, Early Christian and Mediaeval Art. London: Chatto & Windus. pp. 199 and 212–214. ISBN 0701125144
      .
  • Smith, Adam (1978). "St Augustine of Canterbury in History and Tradition". Folklore 89 (1): 23–28. JSTOR 1260091. 
  • Stenton, F. M. (1971). Anglo-Saxon England (Third ed.). Oxford, UK: Oxford University Press. ISBN 978-0-19-280139-5. 
  • Thomson, John A. F. (1998). The Western Church in the Middle Ages. London: Arnold. ISBN 0-340-60118-3. 
  • Wood, Ian (2000). "Augustine and Aidan: Bureaucrat and Charismatic?". In Dreuille, Christophe de. L'Église et la Mission au VIe Siècle: La Mission d'Augustin de Cantorbéry et les Églises de Gaule sous L'Impulsion de Grégoire le Grand Actes du Colloque d'Arles de 1998. Paris: Les Éditions du Cerf. ISBN 2-204-06412-2
      .

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.