Nenda kwa yaliyomo

Augustino wa Canterbury

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Augustino wa Canterbury katika mavazi ya Askofu mkuu.

Augustino wa Canterbury (kwa Kilatini Augustinus Cantiacorum) alizaliwa Roma, Italia, 13 Novemba 534 akafariki Canterbury, Uingereza, 26 Mei 604) alikuwa mmonaki kutoka Italia aliyetumwa na Papa Gregori I kama askofu mmisionari huko Uingereza mwaka 597 akiwa na wamonaki wenzake wengi.

Baada ya kupokewa vizuri na mfalme Ethelbert wa Kent, aliiga maisha ya Kanisa la mwanzo na kumuongoa mfalme huyo pamoja na wananchi wengi sana, akianzisha kwa ajili yao majimbo mbalimbali[1].

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu "mtume wa Uingereza".

Sikukuu yake ni tarehe 26 Mei au 27 Mei[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo vya kale

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.