Asha Abdullah Juma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Asha Abdullah Juma (alizaliwa tarehe 13 Novemba 1950) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Viti maalumu mwaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017