Asasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Asasi ni chombo kikubwa kama vile shirika linalohusika na utoaji wa huduma kwa watu katika jamii.

Asasi zipo za aina mbalimbali; kuna asasi za kiserikali na asasi zisizo za kiserikali.

Asasi za kiserikali[hariri | hariri chanzo]

Hivi ni vyombo au mashirika mbalimbali ya kiserikali yanayojishughulisha na utoaji wa huduma katika jamii. Vyombo hivyo vinaweza kuwepo katika elimu, afya na kadhalika.

Asasi zisizo za kiserikali[hariri | hariri chanzo]

Hivi vi vyombo au mashirika mbalimbali binafsi yanayojishughulisha na utoaji wa huduma katika jamii.

Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Asasi kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.