Arthur Ransome
Mandhari
Arthur Michell Ransome (Alizaliwa 18 Januari 1884 -Alifariki 3 Juni 1967) alikuwa mwandishi na mwandishi wa habari Uingereza. Alijulikana zaidi kwa kuandika na kuchora mfululizo wa vitabu vya watoto vya Swallows na Amazons kuhusu matukio ya watoto ya likizo ya shule, hasa katika Wilaya ya Ziwa na Norfolk Broads[1][2].
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Retter, Emily (2016-08-29). "Swallows and Amazons writer was double agent who risked his life for love". Daily Mirror (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2026-01-10.
- ↑ Ransome, Arthur (2011). Arthur Ransome's Long-lost Study of Robert Louis Stevenson (kwa Kiingereza). Boydell & Brewer Ltd. ISBN 978-1-84383-672-8.