Arnulfi wa Soissons
Mandhari

Arnulfi wa Soissons (pia: Arnoul, Arnulf, Arnold; Tiegern, leo nchini Ubelgiji, 1040 - alifariki Oudenburg, Ubelgiji, 1087) alikuwa askari, halafu mmonaki Mbenedikto, mkaapweke, abati, na kuanzia mwaka 1080 askofu wa Soissons, leo nchini Ufaransa.
Alipojitokeza mwingine kama askofu wa mji huo, aliona afadhali kurudi utawani badala ya kushindana naye. Hivyo akaanzisha monasteri alipofariki[1].
Papa Kalisti II alimtangaza kuwa mtakatifu tarehe 6 Januari 1120.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- H. Claeys, Saint Arnold. Évêque de Soissons Apôtre de la Flandre. Fondateur de l`Abbaye d`Oudenbourg. 1889.
- R.I.A. Nip (ed.), Lisiardus, Hariulfus. Vitae, Miracula, Translatio et alia Hagiographica sancti Arnulphi episcopi Suessionensis (= Corpus Christianorum. Continuatio Mediaevalis 285), Turnhout: Brepols Publishers, 2015 (ISBN 978-2-503-05301-1)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- "St. Arnoul, or Arnulphus, Bishop of Soissons, Confessor", Butler's Lives of the Saints
- Arnold and other patron saints of beer
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |