Armen Sarkissian
Mandhari
Armen Vardani Sargsyan(20 Septemba 1978 au 1979 – 3 Februari 2025) alikuwa mfanyabiashara na mwanachama wa genge aliyezaliwa Armenia na baadaye kuwa raia wa Urusi. Alikuwa akitafutwa na serikali ya Ukraine tangu mwaka 2014. Alianzisha kikosi cha paramilitary kinachoitwa Arbat Special Purpose Battalion mwanzoni mwa uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.[1][2][3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Moscow Bomb Attack Kills Pro-Kremlin Paramilitary Leader Wanted in Ukraine". The Moscow Times (kwa Kiingereza). 2025-02-03. Iliwekwa mnamo 2025-02-12.
- ↑ Kottasová, Ivana; Chernova, Anna; Butenko, Victoria. "Founder of pro-Russian paramilitary group dies in explosion in Moscow". CNN. Iliwekwa mnamo 11 Februari 2025.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Gutterman, Steve. "Moscow Blast Kills Mercenary Leader Fighting Ukraine -- Who's Behind It?". Radio Free Europe. Iliwekwa mnamo 11 Februari 2025.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Armen Sarkissian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |