Mharagwe-viazi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Apios americana)
Mharagwe-viazi
(Apios americana)
Miharagwe-pana shambani
Miharagwe-pana shambani
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Jenasi: Apios
Fabr.
Spishi: A. americana
Medik.

Mharagwe-viazi (Apios americana) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa maharagwe-viazi. Asili ya mmea huu ni Amerika ya Kaskazini ambapo Waindio amekula viazi vyake kama chakula kikuu. Hawakukuza viazi hivi kama aina ya kilimo lakini walivipanda karibu na makazi yao. Siku hizi mharagwe-viazi hukuzwa huko Japani hasa na pia katika Korea ya Kusini. Maharagwe yake huliwa pia lakini siyo kama viazi.

Picha[hariri | hariri chanzo]