Antonio Rosmini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Antonio Rosmini-Serbati.

Antonio Francesco Davide Ambrogio Rosmini-Serbati (Rovereto, 25 Machi 1797 - Stresa, 1 Julai 1855) alikuwa padri na mwanafalsafa wa Italia aliyejihusisha na uhuru na umoja wa nchi yake.

Alianzisha shirika la Upendo (Warosmini[1]).

Baada ya falsafa yake kupingwa muda mrefu, tarehe 18 Novemba 2007 alitangazwa mwenye heri kwa mamlaka ya Papa Benedikto XVI.

Maandishi[hariri | hariri chanzo]

Yaliyo muhimu zaidi ni:

  • The origin of ideas (Translated from the 5th Italian ed.). London: Keegan Paul, Trench. 1883. OCLC 818116370.  Unknown parameter |translator= ignored (|others= suggested) (help)
  • The Principles of Moral Science (1831)
  • The Restoration of Philosophy in Italy (1836)
  • The Philosophy of Right (1841–45)

The following have also been translated into English:

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Cormack, George, and Daniel Hickey. "Rosmini and Rosminianism." The Catholic Encyclopedia Vol. 13. New York: Robert Appleton Company, 1912. 15 November 2016.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Lockhart, William S., ed. (1886). Life of Antonio Rosmini-Serbati 2. London: Kegan Paul, Trench. OCLC 902993060. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.