Antonio Rüdiger

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Antonio Rüdiger
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaUjerumani Hariri
Nchi anayoitumikiaUjerumani Hariri
Jina katika lugha mamaAntonio Rüdiger Hariri
Jina halisiAntonio Hariri
Jina la familiaRüdiger Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa3 Machi 1993 Hariri
Mahali alipozaliwaBerlin Hariri
NduguSahr Senesie Hariri
Lugha ya asiliKijerumani Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKijerumani Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timucentre back Hariri
Muda wa kazi2011 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji22 Hariri
Ameshiriki2017 FIFA Confederations Cup, Kombe la Dunia la FIFA 2018, UEFA Euro 2020, Kombe la Dunia la FIFA 2022 Hariri
Ligi3. Liga, Bundesliga, Seria A, Ligi Kuu Uingereza, LaLiga Hariri
Tovutihttp://www.antonio-ruediger.com/ Hariri

Antonio Rüdiger (alizaliwa 3 Machi 1993) ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama beki wa klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Chelsea FC na timu ya taifa ya Ujerumani.

Alianza kazi yake akiwa na klabu ya VfB Stuttgarta katika ligi ya Bundesliga.

Mwaka 2015 alijiunga na klabu ya AS Roma, awali kwa mkopo na mwaka mmoja baadaye kwa ada ya milioni 9.

Alisainiwa na Chelsea mwaka 2017 kwa wastani wa £ 27 milioni.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Antonio Rüdiger kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.