Antonio Beltrando
Mandhari
Antonio Beltrando (anajulikana pia kama Antonio Trombetta; alifariki 5 Mei 1476), alikuwa prelati wa Kanisa Katoliki aliyehudumu kama Askofu wa Reggio Emilia kuanzia mwaka 1466 hadi 1476. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Eubel, Konrad (1914). Hierarchia catholica medii et recentioris aevi. Juz. la II (tol. la second). Münster: Libreria Regensbergiana. uk. 222. (in Latin)
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |