Antoni Gaudí

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Antoni Gaudí

Antoni Plàcid Guillem Gaudí i Cornet (amezaliwa tar. 25 Juni 1852, Reus / Riudoms ? - 19 Juni 1926, Barcelona)[1] alikuwa msanifu majengo nchini Hispania (Catalonia). Yeye alisoma katika Escola Tècnica Superior d'Arquitectura mjini Barcelona. Alikuwa maarufu kwa kipekee za miundo.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  1. Bibliothèque nationale de France
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Antoni Gaudí kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.