Anthony Davis

Anthony Davis akiwa anachezea timu ya kikapu ya New Orleans Pelicans mwaka 2017
Anthony Marshon Davis (alizaliwa 11 Machi 1993) ni mchezaji wa mpira wa kikapu kutokea Marekani anayeichezea timu ya Los Angeles Lakers katika Chama cha taifa cha mpira wa kikapu (NBA).
Davis alikuwa wa kwanza kuchaguliwa mwaka 2012 katika uteuzi wa wachezaji wa Chama cha taifa cha mpira wa kikapu(NBA). Amefanikiwa kuteuliwa katika timu ya mastaa marekani kwa mara sita. Alishinda medali ya dhahabu katika Michezo ya Olimpiki mwaka 2012 akiwa pamoja na timu yake ya Marekani.
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Anthony Davis kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |