Anna Joram Gidarya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Anna Joram Gidarya (alizaliwa tarehe 23-9- 1982), ni mwanasiasa Mtanzania . Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020 kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). [1]

Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Anna Gidarya alijiondoa CHADEMA na kujiunga na CCM. Kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017