Ann Kihengu
Mandhari
| Ann Kihengu | |
|---|---|
| Utaifa | mtanzania |
| Elimu | Business Administration |
| Cheo | CEO |
| Tuzo | 2010 Africa Laureate of the Cartier Women's Initiative Award |
Ann Kihengu (alizaliwa mwaka 1983) ni mwanamke mjasiriamali aliyepewa tuzo ya mpango wa maendeleo ya wanawake ya mwaka 2010 (Cartier Women's Initiative Awards) kwa kazi yake ya kupata mbadala wa matumizi ya taa za mafuta ya taa na kuweka taa zinazotumia nishati ya jua na chaja za simu zinazotumia mfumo wa sola nchini Tanzania kupitia mtandao wake wa wajasiriamali wadogowadogo.
Kihengu yumo katika mtandao wa wajasiriamali wa dunia uitwao Think Tank.[1][2][3]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Ann Kihengu". Cartier Women's Initiative Awards. 2011-05-24. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-05-01. Iliwekwa mnamo 2017-10-24.
{{cite news}}: More than one of|accessdate=na|access-date=specified (help) - ↑ "A Ventures Woman lights it up in Tanzania - Ventures Africa". Ventures Africa (kwa American English). 2012-03-04. Iliwekwa mnamo 2017-10-24.
- ↑ Cartier Women's Initiative Awards (2011-08-29), Past Laureate - News from Ann Kihengu, iliwekwa mnamo 2017-10-24
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ann Kihengu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |