Anibale Maria di Francia
Sanamu ya Mt. Anibale Maria di Francia huko Bay, Laguna.
Anibale Maria di Francia (Messina, Sicilia, Italia, 5 Julai 1851 – Messina, 1 Juni 1927) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha nyumba kadhaa kwa ajili ya kutunza mayatima na mashirika mawili ya kitawa: Mapadri Warogasyonisti na Mabinti wa Ari ya Kimungu[1].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 7 Oktoba 1990 halafu mtakatifu tarehe 16 Mei 2004.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Saint Hannibal Mary Di Francia Apostle of the Divine Will
- Hannibal Mary Di Francia bio
- Hannibal Mary Di Francia bio
- Address of John Paul II to the Rogationist Fathers, May 16, 1997
- Homily of John Paul II, May 16, 2004
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |