Andrzej Maria Deskur
Mandhari
Andrzej Maria Deskur (29 Februari 1924 – 3 Septemba 2011) alikuwa Rais mstaafu wa Baraza la Kipapa la Mawasiliano ya Kijamii na Kardinali wa Kanisa Katoliki.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |