André Villas Boas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
André Villas Boas

Andre Villas Boas (amezaliwa Porto, 17 Oktoba 1977) ni kocha wa mpira wa miguu wa Kireno. Yeye ni mwanafunzi wa José Mourinho.

Alikuwa ni msaidizi wa Mourinho katika timu ya Porto mwaka 2003, Chelsea 2004-2007 na hatimaye na Inter Milan mwaka 2008. Baada ya msimu wa 2009, aliamua kuwa kocha mkuu wa Académica de Coimbra.

Hivi sasa ni kocha wa timu ya Olympic Marseille.

Timu alizofundisha mwaka Timu 2009–2010 Acadé 2010–2011 Porto 2011–2012 Chelse 2012–2013 Totten 2014–2016 Zenit 2016–2017 Shang 2019– Marseille


Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu André Villas Boas kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.