Anatoli wa Laodikea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Anatoli wa Laodikea (anajulikana pia kama Anatoli wa Aleksandria kwa kuwa ndipo alipozaliwa mwanzoni mwa karne ya 33 Julai 283[1]) alikuwa askofu wa Laodikea kwenye pwani ya Mediteranea nchini Syria.

Kabla ya hapo alikuwa pia kati ya wataalamu wakuu wa hisabati, jiometri, fizikia, astronomia na falsafa ya Aristotle akaacha maandishi muhimu kwa wasio Wakristo pia [2][3][4][5][6].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[7].[8].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Lives of the Saints," Omer Englebert New York: Barnes & Noble Books, 1994, p. 256
  2. Noted scientist, philosopher, scholar, teacher, and writer. He wrote ten books on mathematics alone, and Saint Jerome praised his scholarship and writing. Head of the Aristotlean school in Alexandria, Egypt. However, he was known not just as a scholar but as a humble and deeply religious man. Ignorance horrified him, and part of his work with the poor was to educate them. Held a number of government posts in Alexandria. During a rebellion against the Roman authorities in 263, the area of Alexandria was under seige, resulting in the starvation of both rebels and citizens who had nothing to do with the uprising. Anatolius met with the Romans and negotiated the release of non-combatant children, women, the sick, and the elderly, saving many, and earning him a reputation as a peacemaker. The rebels, freed of caring for the non-combatants, were able to fight even longer. However, when they lost, Anatolius found himself with enemies on each side of the conflict, and he decided to leave Alexandria. Anatolius emigrated to Caesaria, Palestine. His reputation as a scholar and Christian had preceeded him, and he became assistant and advisor to the bishop. In 268, while en route to the Council of Antioch, he passed through Laodicea, Syria. Their bishop, Saint Eusebius of Laodicea, had just died, they saw Anatolius’ arrival as a gift from God, and insisted that he assume the bishopric. He accepted, and spent his remaining fifteen years there.
  3. Eusebius, Historia Ecclesiastica 7.32.6.
  4. Eunapius, Lives of the Philosophers and Sophists
  5. "The Ante-Nicene Christian Pasch: De ratione paschali, the Paschal Tract of Anatolius, bishop of Laodicea" by Daniel P. Mc Carthy and Aidan Breen (2003) Dublin: Four Courts Press
  6. https://www.santiebeati.it/dettaglio/60480
  7. Martyrologium Romanum
  8. http://catholicsaints.info/saint-anatolius-of-alexandria/

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Acta Sanctorum, I, July
  • Michaud, Biog. Univ.
  • Sabine Baring-Gould, Lives of the Saints (London, 1872)
  • "Lives of the Saints," Omer Englebert, New York: Barnes & Noble Books, 1994, pp 532, ISBN 1-56619-516-0
  • "The Ante-Nicene Christian Pasch: De ratione paschali, the Paschal Tract of Anatolius, bishop of Laodicea" by Daniel P. Mc Carthy and Aidan Breen (2003) Dublin: Four Courts Press

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

      .
      .

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.