Anaka
Anaka ni mji katika Mkoa wa Kaskazini huko Uganda. Ni eneo la makao makuu ya wilaya ya Nwoya.
Mahali[hariri | hariri chanzo]
Anaka ipo kwenye barabara ya Acholibur – Gulu – Olwiyo, barabara kuu kati ya Gulu na Pakwach . Ni takribani kilomita 53 (maili 33 ) kusini magharibi mwa Gulu, jiji kubwa zaidi katika mkoa mdogo.[1] Majiranukta ya mji huu ni 02°36'03.0"N, 31°56'52.0"E (Latitude:2.600839; Longitude:31.947775).
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Globefeed.com (25 June 2016). "Distance between Gulu, Northern Region, Uganda and Anaka, Northern Region, Uganda". Globefeed.com. Iliwekwa mnamo 25 Juni 2016. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Anaka kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |