An Chang-rim
Mandhari

An Chang-rim(Kikorea: 안창림; Kihanja: 安昌林; Kijapani: 安昌林 (An Shōrin); alizaliwa 2 Machi 1994) ni mchezaji mstaafu wa mchezo wa Judo, Korea Kusini.[1]Kwa sasa An ndiye bingwa wa dunia katika kitengo cha uzani mwepesi. Alianza kuinuka kama mmoja wa mabingwa wa juu wa judo kwa kuwa Bingwa mdogo wa Dunia. aliendelea mfululizo kwa miaka miwili kwa ushindi wa jukwaa, ikiwa ni pamoja na ushindi katika Grand Slam Abu Dhabi na Tokyo.[2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "2018 World Champion An-Chang-Rim retires". www.judoinside.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-12-17.
- ↑ "Abu Dhabi Grand Slam Tokyo, Japan Date Set! | BJJ Heroes". Iliwekwa mnamo 2021-12-17.