Amando wa Maastricht

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtakatifu Amando wa Maastricht.

Amando wa Maastricht (Nantes, leo nchini Ufaransa, 584 hivi - Elnon, Ufaransa, 679 hivi) alikuwa mmonaki, halafu mkaapweke, tena mmisionari katika maeneo mbalimbali ya Ulaya, hasa Ubelgiji, lakini pia kwa Waslavi wa Ulaya Mashariki, na askofu mkuu wa Tongres na Maastricht, leo nchini Ubelgiji[1].

Hatimaye alijifungia katika monasteri aliyoianzisha.

Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 6 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Acta Sanctorum (Antwerp, 64 vols, 1643-), Feb 1 (1658), 815-904
  • Krusch, B, Monumenta Germaniae Historica, Scriptores rerum merov., V, 395-485
  • Moreau, E de, Saint Amand (1927) An abbreviated version is Moreau, Saint Amand, le principal évangélisatur de la Belgique, 1942.
  • Moreau, E de, La Vita Amandi Prima et les Fondations monastiques de St Amand, Analecta Bollandiana lxvii (1949), 447-64

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.