Amando wa Maastricht
Mandhari
Amando wa Maastricht (Nantes, leo nchini Ufaransa, 584 hivi - Elnon, Ufaransa, 679 hivi) alikuwa mmonaki, halafu mkaapweke, tena mmisionari katika maeneo mbalimbali ya Ulaya, hasa Ubelgiji, lakini pia kwa Waslavi wa Ulaya Mashariki, na askofu mkuu wa Tongres na Maastricht, leo nchini Ubelgiji[1].
Hatimaye alijifungia katika monasteri aliyoianzisha.
Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 6 Februari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Acta Sanctorum (Antwerp, 64 vols, 1643-), Feb 1 (1658), 815-904
- Krusch, B, Monumenta Germaniae Historica, Scriptores rerum merov., V, 395-485
- Moreau, E de, Saint Amand (1927) An abbreviated version is Moreau, Saint Amand, le principal évangélisatur de la Belgique, 1942.
- Moreau, E de, La Vita Amandi Prima et les Fondations monastiques de St Amand, Analecta Bollandiana lxvii (1949), 447-64
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
