Amélie Veille
Mandhari
Amélie Veille(alizaliwa Saint-Georges, Quebec 8 Septemba, 1981) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Kanada. Kazi yake imefananishwa na ile ya Lynda Lemay. [1] [2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Amélie Veille kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |