Alphabet Inc.

Alphabet Inc. ni kampuni ya kimataifa yenye makao makuu Mountain View, California.
Kampuni hii iliundwa baada ya mabadiliko ya muundo wa kampuni ya Google tarehe 2 Oktoba 2015 na kufanywa kuwa kampuni mama ya Google.
Waanzilishi wa Google, Larry Page ni Mkurugenzi Mkuu na Sergey Brin ni Rais wake.
Hadi Desemba 2017, kampuni hii ilikuwa na wafanyakazi 80,110.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Alphabet Inc. kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |