Alifa Rifaat

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Fatimah Rifaat

Amezaliwa 5 Juni 1930
Misri
Amekufa Januari 1996
Nchi Misri
Majina mengine Alifa Rifaat
Kazi yake Mwandishi


Fatimah Rifaat (alizaliwa Juni 5 1930 ,alifariki Januari 1996), alijulikana Kama Alifa Rifaat (Kiarabu: أليفة رفعت), alikua mwandishi wa nchini Misri ambaye hadithi zake fupi zenye utata zilijulikana wakati wa maonyesho ya mienendo ya mahusiano ,jinsia ya kike na katika utamaduni wa Misri.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Alifa Rifaat's 91st Birthday". Google. 5 June 2021.  Check date values in: |date= (help)