Alfred E. Mann
Mandhari
Alfred E. Mann (1925 – Februari 25, 2016) pia alijulikana kama Al Mann. Alikuwa mwanafizikia, mvumbuzi, mjasiriamali, na mfadhili bilionea nchini Marekani.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Alfred E. Mann kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |