Alexis Kanyarengwe
Mandhari
Kanali Alexis Kanyarengwe (1938–2006) alikuwa afisa wa jeshi kutoka Rwanda aliyekimbilia uhamishoni mwaka 1980 baada ya kushutumiwa kwa kupanga njama dhidi ya Juvénal Habyarimana.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Rwanda – juillet 1994 : que sont devenus les « Hommes d'union nationale »? (2ème partie) - Jambonews FR". www.jambonews.net. Iliwekwa mnamo 2019-04-10.
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Alexis Kanyarengwe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |