Alexandre José Maria dos Santos
Mandhari

Alexandre José Maria dos Santos (18 Machi 1924 – 29 Septemba 2021) alikuwa kardinali wa Kanisa Katoliki kutoka Msumbiji. Alikuwa kardinali wa kwanza mzawa wa Msumbiji.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Cardinal Title S. Frumenzio ai Prati Fiscali GCatholic.org
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |