Alessandro Sanminiatelli Zabarella
Mandhari
Alessandro Sanminiatelli Zabarella (3 Agosti 1840 – 24 Novemba 1910) alikuwa kardinali wa Italia katika Kanisa Katoliki. Alihudumu kama Patriarki wa Kilatini wa Konstantinopoli kuanzia mwaka 1889 hadi 1901.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Titular Patriarchal See of Constantinople". Giga-Catholic Information. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2 Januari 2009. Iliwekwa mnamo 2009-01-28.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |