Air Seychelles

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nembo ya Air Seychelles
Airbus A 330-200

Air Seychelles ni kampuni ya ndege ya nchi ya Seychelles yenye makao yake mjini Mahé]].[1] Tangu 2012 asilimia 40 za hisa zake ziko mkononi mwa Etihad Airlines ya Abu Dhabi.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Ndege hii ilianzishwa mnamo 15 Septemba 1977 kwa jina la Seychelles Airlines. Ilianza kutumia jina la Air Seychelles mnamo Septemba 1978. Ilianza safari za ng'ambo mnamo 1983 hadi mjini Frankfurt na Londn. Inamilikiwa na serikali ya Seychelles na imewaajiri wafanyikazi 663.

Miji inayosafiria[hariri | hariri chanzo]

Ndege aina ya Boeing 767-300ER
Ndege aina ya Shorts 360
Afrika[hariri | hariri chanzo]
Asia[hariri | hariri chanzo]
Uropa[hariri | hariri chanzo]

Ndege zake[hariri | hariri chanzo]

Mwaka 2013 kampuni ilikuwa na ndege hizi saba [2]

Airbus moja aina ya A319 imeagizwa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Offices Archived 7 Februari 2003 at the Wayback Machine.." Air Seychelles. Retrieved on 10 Novemba 2009.
  2. http://www.airseychelles.com/en/about_us/our_fleet.php Archived 7 Julai 2011 at the Wayback Machine. Air Seychelles "our fleet"

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]