Air France

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Air France Boeing 787 ni ndege ya shirika la Air France
Air France
IATA
AF
ICAO
AFR
Callsign
AIRFRANS
Kimeanzishwa 1933
Vituo vikuu Paris-Charles de Gaulle Airport
Programu kwa wateja wa mara kwa mara Flying Blue
Member lounge
  • Première Lounge
  • Departures Lounge
  • Arrivals Lounge
  • Salon Air France
  • SkyTeam Lounge
Muungano SkyTeam
Subsidiaries
Ndege zake 250 (+ 34 orders) incl.cargo
Shabaha 248 incl.subsidiaries
Nembo Faire du ciel le plus bel endroit de la terre
Kampuni mama Air France-KLM
Makao makuu Roissypôle
Paris-Charles de Gaulle Airport
Tremblay-en-France, Ufaransa
Watu wakuu
Tovuti www.airfrance.com

Air France (zamani iliitwa Société Air France, S.A.) ni shirika la ndege kuu la Ufaransa iliyo na makao makuu mjini Tremblay-en-France. Air France inasafiri hadi miji 150 kote duniani.

Air France ilianzishwa mnamo 7 Oktoba 1933 baada ya muungano wa kampuni za Air Orient, Air Union, Compagnie Générale Aéropostale, Compagnie Internationale de Navigation Aérienne (CIDNA), na Société Générale de Transport Aérien (SGTA).

Miji inayosafiria[hariri | hariri chanzo]

Afrika[hariri | hariri chanzo]

Afrika ya Kati[hariri | hariri chanzo]

Afrika Mashariki[hariri | hariri chanzo]

Afrika Kaskazini[hariri | hariri chanzo]

Afrika ya Kusini[hariri | hariri chanzo]

Afrika Magharibi[hariri | hariri chanzo]

Amerika[hariri | hariri chanzo]

Amerika Kaskazini[hariri | hariri chanzo]

  • Canada
    • Montréal - Montréal-Pierre Elliott Trudeau International Airport
    • Toronto - Toronto Pearson International Airport
  • Mexico
    • Guadalajara - Don Miguel Hidalgo y Costilla International Airport
    • Mexico City - Mexico City International Airport
  • Marekani
    • Atlanta - Hartsfield-Jackson Atlanta International Airport
    • Boston - Logan International Airport
    • Chicago - O'Hare International Airport
    • Detroit - Detroit Metropolitan Wayne County Airport
    • Houston - George Bush Intercontinental Airport
    • Los Angeles - Los Angeles International Airport
    • Miami - Miami International Airport
    • Newark - Newark Liberty International Airport
    • New York City - John F. Kennedy International Airport
    • San Francisco - San Francisco International Airport
    • Seattle - Seattle-Tacoma International Airport
    • Washington D.C. - Washington Dulles International Airport

Amerika Kusini[hariri | hariri chanzo]

Asia[hariri | hariri chanzo]

Uropa[hariri | hariri chanzo]

Oceania[hariri | hariri chanzo]

Ndani ya ndege[hariri | hariri chanzo]

Air France ina daraja tatu za huduma: La Première, Affaires, Premium Voyageur na Voyageur.[1]

La Première kwenye ndege ya aina ya Boeing 777.
Viti vilivyomo ndani ya Affaires.
Sehemu ya Voyageur.
Ndege ya ufaransa aina ya airbus A380 F-HPJA

La Première[hariri | hariri chanzo]

Viti vyake vimetengenezwa kwa ngozi, na huweza kulazwa kama kitanda chenye urefu wa mita mbili. Kila kiti kina runinga yake, taa ya kusomea, chombo cha kukandia, simu ya mkono na kabati. Vyakula hupikwa na Chef Guy Martin. Pia, kuna godoro, blanketi na mto wa kulalia.

Affaires[hariri | hariri chanzo]

Viti vya sehemu hii huweza kulazwa. Kila kiti kina runinga, taa ya kusomea, simu. Chakula pia hutolewa.

Voyageur[hariri | hariri chanzo]

Viti huwezwa kulazwa hadi 118°. Kila kiti kuna simu na runinga. Chakula pia hutolewa.[2]

Makao Makuu[hariri | hariri chanzo]

Ofisi kuu ya Air France mjini Roissypôle, Tremblay-en-France

Ofisi ya Airfranci ipo kwenye jengo la Roissypôle kwenye uwanja wa ndege wa Paris-Charles de Gaulle karibu na mji wa Paris.[3] Jengo hili lilimalizika mnamo Desemba 1995. Ilisimamiwa na kampuni ya Groupement d'Etudes et de Méthodes d'Ordonnancement (GEMO). Iligharimu euro 137,000,000.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Air France - On Board. Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-01-17. Iliwekwa mnamo 2010-01-28.
  2. Baggage fees for major airlines. budgettravel.about.com. Jalada kutoka ya awali juu ya 2009-02-18. Iliwekwa mnamo 2009-02-22.
  3. "Head Office Archived 22 Septemba 2009 at the Wayback Machine.,Air France. Retrieved on 18 Mei 2009.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]