Ahaggar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Tahat, kilele kirefu kabisa katika safu ya Ahaggar

Ahaggar (pia Uhaggar, Hoggar) ni safu ya milima ya Aljeria (Afrika).

Urefu wake unafikia hadi mita 2,908 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]