Agata Lin Zhao
Mandhari


Agata Lin Zhao (1817 hivi - Maokou 28 Januari 1858) alikuwa bikira mlei wa China aliyefia Ukristo kwa kukatwa kichwa pamoja na makatekista wenzake Jeromu Lu Tingmei na Laurenti Wang Bing chini ya kaisari Wenzongxian [1].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, ila ya kwake mwenyewe tarehe 28 Januari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |