AfroBasket 2009
Mandhari
Makala hii inahitaji vyanzo zaidi ili kuwezesha kuonyesha uthibitisho. |
AfroBasket 2009 yalikuwa mashindano ya 25 ya FIBA Africa Championship. Mashindano hayo ya ubingwa yalifanyika chini ya bodi ya mpira wa kikapu iitwayo Fédération Internationale de Basketball
Mashindano yalifanyika nchini Libya baada ya Nigeria kujiondoa kwa kutokamilisha vigezo vilivyowekwa na FIBA Africa.
Michuano ya ubingwa ya FIBA ya mwako 2009 ilifanyika tarehe tofauti tofauti mnamo 4 Agosti 2008 hadi 31 Mei 2009.
Timu zilizofuzu
[hariri | hariri chanzo]Timu iliyofuzu kama mwenyeji wa mashindano:
Tatu bora ya waliofuzu katika ubingwa FIBA Afrika 2007:
Washindi wa kanda:
Walio fuzu kuingia katika mashindano bila ya kuchuana na timu pinzani:
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |