Nenda kwa yaliyomo

AfroBasket 2009

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

AfroBasket 2009 yalikuwa mashindano ya 25 ya FIBA Africa Championship. Mashindano hayo ya ubingwa yalifanyika chini ya bodi ya mpira wa kikapu iitwayo Fédération Internationale de Basketball.[1][2]

Mashindano yalifanyika nchini Libya baada ya Nigeria kujiondoa kwa kutokamilisha vigezo vilivyowekwa na FIBA Africa.[3][4]

Michuano ya ubingwa ya FIBA ya mwaka 2009 ilifanyika tarehe tofauti tofauti mnamo tarehe 4 Agosti 2008 hadi 31 Mei 2009.[5][6]

Timu zilizofuzu

[hariri | hariri chanzo]

Timu iliyofuzu kama mwenyeji wa mashindano:

Tatu bora ya waliofuzu katika ubingwa FIBA Afrika 2007:[7][8]

Washindi wa kanda:

Walio fuzu kuingia katika mashindano bila ya kuchuana na timu pinzani:

  1. "Angola wins Africa Basketball Championships (again)". Interbasket.net. 2009-08-15. Iliwekwa mnamo 2009-08-17.
  2. "LBA - Gomes Leads All-Star Team". 2009-08-15. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Agosti 22, 2009.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. AfroBasket. Libya: The organization contract will be signed today in Tripoli Archived Agosti 13, 2009, at the Wayback Machine. February 4, 2009
  4. AfroBasket to be Held August 5–15. . February 2, 2009
  5. Kadhafi receives African Basketball Association president Archived 2012-03-19 at the Wayback Machine. May 9, 2008
  6. African Championship (25) of Basketball, Libyaonline.com
  7. "Angola wins Africa Basketball Championships (again)". Interbasket.net. 2009-08-15. Iliwekwa mnamo 2009-08-17.
  8. "LBA - Gomes Leads All-Star Team". 2009-08-15. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Agosti 22, 2009.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
    Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
    Je, unajua kitu zaidi kuhusu AfroBasket 2009 kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
    Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.