Afriking Troxxie
Afriking Troxxie | |
---|---|
Jina Kamili | Tariro Mdhululi |
Jina la kisanii | Afriking Troxxie |
Nchi | South Africa |
Alizaliwa | 01-10-1995 |
Aina ya muziki | Dancehall |
Miaka ya kazi | 2016 - hadi leo |
Kampuni | Dapstrem Entertainment |
Tariro Mdhululi (anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama Afriking Troxxie.; amezaliwa 1 Oktoba 1995) ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa Reggae pamoja na Dancehall kutoka Afrika Kusini. Kwa asili ni mtu wa mkoani Johannesburg.
![]() |
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Afriking Troxxie kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |