Nenda kwa yaliyomo

Adwaba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Adwaba ni vijiji vinavyojishughulisha na kilimo nchini Mauritania, ambavyo kwa kiasi kikubwa wanaishi watumwa wa zamani na watu wa tabaka la chini.[1] Idadi kubwa ya watu maskini katika vijiji vya Mauritania wanatoka katika jamii ya adwaba.

  1. John D. Sutter, Edythe McNamee CNN. "Slavery's last stand - CNN.com". CNN. Iliwekwa mnamo 2025-07-05. {{cite web}}: |author= has generic name (help)