Adalberto wa Egmond
Mandhari
Adalberto wa Egmond, O.S.B. (alifariki Egmond, Uholanzi, 710 hivi) alikuwa mmonaki Mbenedikto shemasi kutoka Northumbria (Uingereza) aliyefanya umisionari kwa miaka 20 katika Frisia ya leo, akiwa pamoja na Wilibrodi na wengineo[1].
Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Utopia article
- Life of Adalbert, website of Egmond Abbey, in Dutch
- Detailed consideration of the legend and relics of Adelbert, in Dutch
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
