Adalbert wa Austria
Mandhari
(Elekezwa kutoka Adalbert, Margrave wa Austria)
Adalbert (anajulikana kama Adalbert Mshindi; 985 – 26 Mei 1055) alikuwa Margrave wa Austria kuanzia mwaka 1018 hadi kifo chake mwaka 1055.
Ndoa na Familia
[hariri | hariri chanzo]Adalbert alioa kwa mara ya kwanza Glismonda wa West-Saxony. Hawakuwa na watoto waliyojulikana.
Baadae alioa Frozza Orseolo, ambaye baadaye alichukua jina la Adelheid. Alikuwa dada wa Peter Urseolo wa Hungaria.[1] Frozza na Adalbert walikuwa na wana wawili:
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Dümmerth Dezső: Az Árpádok nyomában. Panoráma Kiadó 1977.
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Adalbert wa Austria kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |