Abraham Calderón

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abraham Calderón (amezaliwa 25 Novemba 1988) ni raia wa Mexico na ni dereva wa mbio za magari kutoka Monterrey. Kwa sasa anaendesha gari namba 2 la ARRIS katika msururu wa NASCAR Mexico[1]. Mwaka 2014 alikuwa bingwa katika mashindano ya Toyota Series; hapo awali alikuwa tayari ameshinda ubingwa wa 2006 NASCAR MexicoT4Series.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Abraham Calderón se prepara para Aguascalientes | NASCAR México | Noticias - PuestaaPunto.com.mx". web.archive.org. 2010-11-30. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-11-30. Iliwekwa mnamo 2022-07-19.