Abdullah Kassim Hanga
Mandhari
Abdullah Kassim Hanga
Jinsia | mume ![]() |
---|---|
Nchi ya uraia | Tanzania, Usultani wa Zanzibar ![]() |
Jina halisi | Abdulla ![]() |
Tarehe ya kuzaliwa | 1932 ![]() |
Tarehe ya kifo | 1960s ![]() |
Mahali alipofariki | Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ![]() |
Mwenzi | Lily Golden ![]() |
Mtoto | Yelena Khanga ![]() |
Lugha ya asili | Kiswahili ![]() |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kiingereza, Kiswahili ![]() |
Kazi | politician ![]() |
Nafasi ilioshikiliwa | Waziri mkuu ![]() |
Alisoma | Chuo Kikuu cha Oxford, Peoples' Friendship University of Russia ![]() |
Elimu ya juu | political science ![]() |
Mwanachama wa chama cha siasa | Afro-Shirazi Party ![]() |
Dini | Uislamu ![]() |
Political ideology | Umaksi ![]() |
Abdullah Kassim Hanga (1932–1969) alikuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar kuanzia tarehe 12 Januari 1964 hadi 27 Aprili 1964[1].
Aliuawa bila ya kusikilizwa kwa kesi yake iliyokuwa juu ya madai ya kufanya njama ya kupindua utawala wa Abedi Amani Karume mwaka 1967 nchini Tanzania.[2]
Mwanahabari wa Urusi Yelena Khanga ni binti yake.[3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "archive.ph". archive.ph. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-25. Iliwekwa mnamo 2022-10-11.
- ↑ Bakari, Mohammed Ali (2001). The Democratisation Process in Zanzibar: A Retarded Transition (kwa Kiingereza). GIGA-Hamburg. ISBN 978-3-928049-71-9.
- ↑ Khanga, Yelena; Jacoby, Susan (1994). Soul to Soul: A Black Russian Jewish Woman's Search for Her Roots (kwa Kiingereza). W.W. Norton. ISBN 978-0-393-31155-6.
![]() |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |