Nenda kwa yaliyomo

Abdullah Kassim Hanga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Abdullah Kassim Hanga
binadamu
Taarifa za jumla
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaTanzania, Usultani wa Zanzibar Hariri
Jina halisiAbdulla Hariri
Tarehe ya kuzaliwa1932 Hariri
Tarehe ya kifo1960s Hariri
Mahali alipofarikiJamhuri ya Watu wa Zanzibar Hariri
MwenziLily Golden Hariri
MtotoYelena Khanga Hariri
Lugha ya asiliKiswahili Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiingereza, Kiswahili Hariri
Kazipolitician, waziri Hariri
Nafasi ilioshikiliwaWaziri mkuu Hariri
AlisomaChuo Kikuu cha Oxford, Peoples' Friendship University of Russia Hariri
Elimu ya juupolitical science Hariri
Mwanachama wa chama cha siasaAfro-Shirazi Party Hariri
DiniUislamu Hariri
Political ideologyUmaksi Hariri

Abdullah Kassim Hanga (19321969) alikuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar kuanzia tarehe 12 Januari 1964 hadi 27 Aprili 1964[1].

Aliuawa bila ya kusikilizwa kwa kesi yake iliyokuwa juu ya madai ya kufanya njama ya kupindua utawala wa Abedi Amani Karume mwaka 1967 nchini Tanzania.[2]

Mwanahabari wa Urusi Yelena Khanga ni binti yake.[3]

  1. "archive.ph". archive.ph. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-25. Iliwekwa mnamo 2022-10-11.
  2. Bakari, Mohammed Ali (2001). The Democratisation Process in Zanzibar: A Retarded Transition (kwa Kiingereza). GIGA-Hamburg. ISBN 978-3-928049-71-9.
  3. Khanga, Yelena; Jacoby, Susan (1994). Soul to Soul: A Black Russian Jewish Woman's Search for Her Roots (kwa Kiingereza). W.W. Norton. ISBN 978-0-393-31155-6.
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abdullah Kassim Hanga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.