Abdoul Ba
Mandhari
Abdoul Bocar Ba (alizaliwa tarehe 8 mwezi wa 2 mwaka 1994) ni mchezaji wa kulipa ambaye hivi karibuni anacheza nafasi ya beki wa kati Kosovo katika klabu ya Besa Pejë. Alizaliwa Senegali, anaitumikia timu ya taifa ya Mauritania.[1]
Kimataifa
[hariri | hariri chanzo]Mwaka 2019 Ba alichezea Mauritania kwenye michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika.[2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Benjamin Strack-Zimmermann. "Abdoul Bâ (Player)". www.national-football-teams.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2026-02-05.
- ↑ "Abdoul Ba", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2026-01-26, iliwekwa mnamo 2026-02-05