Abdallah Majurah Bulembo
Abdallah Majurah Bulembo ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ameteuliwa kuwa mbunge kwa Uteuzi wa Raisi kwa mwaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |