Abbas Ali Mwinyi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abbas Ali Hassan Mwinyi ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Fuoni kwa miaka 20152020[1]. Ni msomi, rubani wa ndege na nahodha wa meli.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017