Nenda kwa yaliyomo

A Coruña

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

A Coruña ni mji wa Hispania, katika Mkoa wa La Coruña.

Mwaka 2019 wakazi wake walikuwa 245,711 [1] na kuufanya wa kumi na nane nchini kwa wingi wa watu.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Cifras oficiales de población resultantes de la revisión del Padrón municipal a 1 de enero. Detalle municipal". INE.
Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu A Coruña kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.